Ezekieli 44:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Kuhani yeyote asioe mwanamke mjane wala mwanamke aliyepewa talaka. Lakini atamwoa bikira ambaye ni mzawa wa Waisraeli au mwanamke aliyefiwa na mumewe aliyekuwa kuhani.

Ezekieli 44

Ezekieli 44:21-29