Ezekieli 43:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya siku hizo saba, tokea siku ya nane na kuendelea, makuhani watatoa sadaka zenu za kuteketezwa na sadaka zenu za amani. Nami nitawakubali. Mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nimesema.”

Ezekieli 43

Ezekieli 43:22-27