Ezekieli 41:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwenye mlango wa kuingilia ukumbi kulichorwa viumbe vyenye mabawa na mitende, kama ilivyokuwa kwenye kuta. Na kulikuwa na kifuniko cha ubao kikifunika mlango kwa nje kwenye sehemu ya kuingilia ndani.

Ezekieli 41

Ezekieli 41:15-26