Ezekieli 39:25 Biblia Habari Njema (BHN)

“Kwa hiyo mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Sasa nitawahurumia Waisraeli wazawa wa Yakobo, na kuwarudishia fanaka yao. Daima nataka jina langu takatifu liheshimiwe.

Ezekieli 39

Ezekieli 39:18-29