Ezekieli 39:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Mataifa yatajua kuwa Waisraeli walikwenda uhamishoni kutokana na makosa yao wenyewe waliyonikosea. Waliniasi, nami nikageuka wasinione, nikawaweka mikononi mwa maadui zao wakauawa.

Ezekieli 39

Ezekieli 39:15-29