Ezekieli 37:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Hawatajitia unajisi tena kwa sanamu za miungu yao na kwa mambo yao ya kuchukiza wala kwa makosa yao. Nitawaokoa wasiwe tena waasi. Nao watakuwa watu wangu nami nitakuwa Mungu wao.

Ezekieli 37

Ezekieli 37:17-26