Ezekieli 36:35 Biblia Habari Njema (BHN)

Nao watu watasema: ‘Nchi hii iliyokuwa jangwa, sasa imekuwa kama bustani ya Edeni, nayo miji iliyokuwa ukiwa, mahame na magofu, sasa inakaliwa na watu, tena ina ngome!’

Ezekieli 36

Ezekieli 36:25-38