Ezekieli 36:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini jueni kwamba sitafanya hivyo kwa ajili yenu. Mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nimesema. Oneni aibu na kufadhaika kwa sababu ya matendo yenu, enyi Waisraeli!

Ezekieli 36

Ezekieli 36:24-37