Ezekieli 36:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Nitawafanya watu na wanyama waongezeke na kuwa wengi. Nitawafanya nyinyi milima mkaliwe tena kama zamani. Nitawatendea mema mengi kuliko zamani. Nanyi mtatambua kuwa mimi ni Mwenyezi-Mungu.

Ezekieli 36

Ezekieli 36:8-20