Ezekieli 35:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo, kama niishivyo, nasema mimi Bwana Mwenyezi-Mungu, naapa kwamba kifo kinakungoja na hutaweza kukikwepa. Kwa kuwa unayo hatia ya mauaji, basi mauaji nayo yatakuandama.

Ezekieli 35

Ezekieli 35:4-11