Ezekieli 35:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo, mimi Bwana Mwenyezi-Mungu naapa kwa nafsi yangu kwamba nitakutenda kadiri ya hasira na wivu wako, kulingana na chuki yako kwao. Nitakapokuadhibu utatambua mimi ni nani!

Ezekieli 35

Ezekieli 35:6-15