Ezekieli 34:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Kama mchungaji anavyowatafuta kondoo wake waliotawanyika, ndivyo nitakavyowatafuta kondoo wangu. Nitawarudisha kutoka kila mahali walipotawanyika siku yenye mawingu na giza nene.

Ezekieli 34

Ezekieli 34:2-14