Ezekieli 31:10 Biblia Habari Njema (BHN)

“Kwa hiyo, mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Kwa sababu wewe ulirefusha kimo chake na kukiinua kilele chake kati ya matawi makubwa, ukajivunia urefu wake,

Ezekieli 31

Ezekieli 31:7-11