Ezekieli 30:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Mikono ya mfalme wa Babuloni nitaitia nguvu na kutia upanga wangu mkononi mwake. Lakini nitaivunja mikono ya Farao, naye atapiga kite mbele ya mfalme wa Babuloni kama mtu aliyejeruhiwa vibaya sana.

Ezekieli 30

Ezekieli 30:15-26