Ezekieli 30:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo, mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Nitapambana na Farao mfalme wa Misri. Nitaivunja mikono yake yote miwili, ule mzima na hata uliovunjika. Na upanga ulio mkononi mwake utaanguka chini.

Ezekieli 30

Ezekieli 30:15-26