Ezekieli 3:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini, ukimwonya mtu mwadilifu asitende dhambi, naye akaacha kutenda dhambi, hakika mtu huyo ataishi, kwa kuwa amepokea maonyo yako, nawe utakuwa umeyaokoa maisha yako.”

Ezekieli 3

Ezekieli 3:14-24