Ezekieli 3:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Nikimwambia mtu mwovu kwamba hakika atakufa, nawe humwonyi au kumwambia aache njia yake potovu ili kuyaokoa maisha yake, basi, mtu huyo mwovu atakufa kwa uovu wake; lakini damu yake nitakudai wewe.

Ezekieli 3

Ezekieli 3:10-26