8. Watakutumbukiza chini shimoni,nawe utakufa kifo cha kikatili kilindini mwa bahari.
9. Je, utajiona bado kuwa mungumbele ya hao watakaokuua?Mikononi mwa hao watakaokuangamiza,utatambua kuwa wewe ni mtu tu, wala si Mungu!
10. Utakufa kifo cha aibu kubwamikononi mwa watu wa mataifa.Ni mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nimesema.”
11. Tena neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia: