Ezekieli 24:26-27 Biblia Habari Njema (BHN)

26. Siku hiyo, mtu atakayeokoka atakuja kukupasha habari hizo.

27. Siku hiyohiyo, utaacha kuwa bubu, nawe utaweza kuongea naye. Kwa hiyo wewe utakuwa ishara kwao, nao watatambua kuwa mimi ni Mwenyezi-Mungu.”

Ezekieli 24