Ezekieli 23:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Hao walimvua mavazi yake na kumwacha uchi. Waliwakamata watoto wake, naye mwenyewe wakamuua kwa upanga. Adhabu hiyo aliyopata ikawa fundisho kwa wanawake wengine.

Ezekieli 23

Ezekieli 23:8-16