Ezekieli 20:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Nikawaacha watiwe unajisi kwa tambiko zao za kuwatoa wazaliwa wao wa kwanza kafara kwa sanamu za miungu. Hili lilikuwa pigo lao la adhabu ya kutisha ili watambue kuwa mimi ni Mwenyezi-Mungu.

Ezekieli 20

Ezekieli 20:25-31