Ezekieli 20:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini nilijizuia kufanya hivyo kwa sababu ya heshima ya jina langu ili nisidharauliwe kati ya watu wa mataifa ambao walishuhudia jinsi nilivyowatoa Waisraeli nchini Misri.

Ezekieli 20

Ezekieli 20:7-17