Ezekieli 16:7 Biblia Habari Njema (BHN)

‘Ishi, na ukue kama mmea shambani.’ Nawe ukakua na kurefuka hata ukawa msichana. Matiti yako yakakua na nywele zako nazo zikakua. Lakini ulikuwa uchi kabisa.

Ezekieli 16

Ezekieli 16:4-14