Ezekieli 16:63 Biblia Habari Njema (BHN)

Nitakusamehe kila kitu ulichotenda. Nawe utakapokumbuka hayo yote uliyotenda utashangaa na kunyamaza kwa aibu wala hutathubutu kusema tena. Mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nimesema.”

Ezekieli 16

Ezekieli 16:60-63