Ezekieli 16:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Hakuna aliyekuonea huruma na kukufanyia mambo hayo. Hakuna aliyekupenda. Bali, siku ile ulipozaliwa, ulitupwa huko mashambani kwa sababu siku ulipozaliwa ulichukiza sana.

Ezekieli 16

Ezekieli 16:3-12