Ezekieli 16:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Chakula changu nilichokupa, ulikitoa kwa sanamu hizo kuwa harufu ya kupendeza kwani nilikulisha kwa unga safi, mafuta na asali. Mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nimesema!

Ezekieli 16

Ezekieli 16:12-24