Ezekieli 14:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Na ikiwa nabii huyo atadanganyika akasema kitu, basi mimi Mwenyezi-Mungu nimempotosha. Nami nitanyosha mkono wangu kumwondoa nabii huyo kutoka kwa watu wangu wa Israeli.

Ezekieli 14

Ezekieli 14:4-17