Ezekieli 14:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Siku moja baadhi ya wazee wa Israeli walinitembelea kutaka shauri.

2. Basi neno la Mwenyezi-Mungu likanijia:

3. “Wewe mtu, watu hawa wamekubali mioyo yao itawaliwe na sanamu za miungu; miungu hiyo inawaelekeza kutenda dhambi. Je, nitakubali kuulizwa nao shauri?

Ezekieli 14