Ezekieli 13:20 Biblia Habari Njema (BHN)

“Basi, mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema: Nitashambulia hirizi zenu mnazowafunga nazo watu; nitazipasuapasua kutoka mikononi mwenu na kuwaacha huru hao mnaowawinda kama ndege.

Ezekieli 13

Ezekieli 13:17-23