Ezekieli 13:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Manabii hao wanawapotosha watu wangu na kuwaambia ‘Kuna amani’, wakati hakuna amani. Watu wangu wanajenga ukuta usiofaa, nao wanaupaka chokaa!

Ezekieli 13

Ezekieli 13:5-14