Ezekieli 12:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakiwa wanakuona, jitwike mabegani mzigo wako na kuondoka wakati wa giza. Funika uso wako usiweze kuona unakwenda wapi. Ndivyo ninavyokufanya uwe ishara kwa Waisraeli.”

Ezekieli 12

Ezekieli 12:1-12