Ezekieli 10:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Kila kiumbe mwenye mabawa alikuwa na nyuso nne: Uso wa kwanza ulikuwa wa fahali, uso wa pili ulikuwa wa mwanadamu, uso wa tatu ulikuwa wa simba na uso wa nne ulikuwa wa tai.

Ezekieli 10

Ezekieli 10:5-18