Ezekieli 1:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Nilipotazama niliona upepo wa dhoruba unavuma kutoka kaskazini: Kulikuwa na wingu kubwa lililozungukwa na mngao, na moto ulichomoza humo mfululizo na katikati ya huo moto kulikuwa na kitu kinametameta kama shaba.

Ezekieli 1

Ezekieli 1:1-12