Danieli 9:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Waisraeli wote wameiasi sheria yako, wamekuacha wakakataa kukutii. Kwa sababu tumekukosea, tumemwagiwa laana na viapo vilivyoandikwa katika sheria ya Mose, mtumishi wako.

Danieli 9

Danieli 9:1-13