Danieli 8:27 Biblia Habari Njema (BHN)

“Mimi Danieli, nikazimia na kuugua kwa muda. Nilipopona, nikaendelea na shughuli za mfalme. Lakini yale maono yalinistaajabisha, nami sikuweza kuyaelewa.

Danieli 8

Danieli 8:25-27