Danieli 7:11 Biblia Habari Njema (BHN)

“Kutokana na maneno ya kujigamba yaliyokuwa yanasemwa na ile pembe, nikatazama. Nikiwa natazama, huyo mnyama wa nne aliuawa, mwili wake ukaharibiwa na kutolewa uchomwe moto.

Danieli 7

Danieli 7:1-18