Danieli 7:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Mnamo mwaka wa kwanza wa utawala wa mfalme Belshaza wa Babuloni, Danieli aliota ndoto na kuona maono akiwa amelala kitandani mwake. Aliiandika ndoto yake hii:

Danieli 7

Danieli 7:1-11