Danieli 6:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Alipofika karibu akamwita Danieli kwa sauti ya huzuni, “Danieli, mtumishi wa Mungu aliye hai! Je, Mungu wako unayemtumikia daima ameweza kukuokoa na simba hawa?”

Danieli 6

Danieli 6:15-22