Danieli 5:29 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo, mfalme Belshaza akaamuru Danieli avishwe mavazi rasmi ya zambarau na mkufu wa dhahabu shingoni. Ikatangazwa kuwa Danieli atashikilia nafasi ya tatu katika ufalme.

Danieli 5

Danieli 5:20-31