Danieli 4:37 Biblia Habari Njema (BHN)

“Na sasa, mimi Nebukadneza ninamsifu na kumtukuza na kumheshimu mfalme wa mbinguni. Maana matendo yake yote ni ya haki, naye huwashusha wenye kiburi.”

Danieli 4

Danieli 4:31-37