Danieli 2:34 Biblia Habari Njema (BHN)

Ukiwa bado unaangalia, jiwe lilingoka lenyewe, bila kuguswa, na kuipondaponda miguu ya shaba na udongo wa mfinyanzi ya ile sanamu, na kuivunja vipandevipande.

Danieli 2

Danieli 2:29-37