Danieli 2:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Arioko akampeleka Danieli mbele ya mfalme kwa haraka na kumwambia, “Nimempata mtu fulani miongoni mwa mateka wa Yuda anayeweza kukufasiria ndoto yako, ee mfalme.”

Danieli 2

Danieli 2:22-34