Danieli 12:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu wengi wataondolewa uchafu, watatakaswa na kusafishwa. Lakini watu waovu wataendelea kutenda uovu. Hakuna hata mmoja wa hao waovu atakayeelewa; wenye hekima ndio watakaoelewa.

Danieli 12

Danieli 12:1-12