Danieli 11:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Atazibeba sanamu za kusubu za miungu yao na vyombo vya thamani vya fedha na dhahabu mpaka nchini Misri. Kwa muda wa miaka kadhaa, mfalme wa kusini hatamshambulia mfalme wa kaskazini.

Danieli 11

Danieli 11:1-10