Danieli 11:41 Biblia Habari Njema (BHN)

Ataivamia hata nchi ile tukufu na kuua maelfu ya watu. Lakini nchi za Edomu, Moabu na sehemu kubwa ya Amoni, zitaokoka kutoka mikononi mwake.

Danieli 11

Danieli 11:32-44