Danieli 11:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo wafalme hao wawili wataketi pamoja mezani kula, lakini kila mmoja anamwazia mwenzake uovu, na kudanganyana. Ila hawatafanikiwa, maana wakati uliopangwa utakuwa bado haujatimia.

Danieli 11

Danieli 11:22-29