Danieli 11:20 Biblia Habari Njema (BHN)

“ ‘Huyu atafuatwa na mfalme mwingine ambaye atatuma mtozaushuru kupitia katika fahari ya ufalme wake. Mfalme huyo atauawa baada ya siku chache, lakini si kwa hasira wala vitani.

Danieli 11

Danieli 11:17-26