Danieli 10:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Akaniambia, ‘Usiogope wewe unayependwa sana, uko salama. Uwe imara na hodari.’ Aliposema nami, nilipata nguvu, nikamwambia, ‘Bwana, umekwisha niimarisha; sema kile ulichotaka kusema.’

Danieli 10

Danieli 10:14-21