Danieli 1:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Muda ulipotimia ambapo hao vijana wangepelekwa kwa mfalme kama alivyokuwa ameagiza, yule towashi mkuu akawapeleka vijana wote mbele ya Nebukadneza.

Danieli 1

Danieli 1:12-21