Amosi 8:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Wale wanaoapa kwa mungu wa uongo wa Samaria,na kusema: ‘Kwa nafsi ya mungu wako ee Dani’;na, ‘Kwa nafsi ya mungu wa Beer-sheba’,wote wataanguka na hawatainuka tena kamwe.”

Amosi 8

Amosi 8:5-14